Kwa nini Mwanamke Akishazalishwa Anakuwa Mwepesi Kuchukulika?
Katika pita pita zangu wale wadada wanajidai wana misimamo
wanapozalishwa na wanaume na kuachwa alone huwa wanashuka chini na
inakuwa rahisi kupiga sound ya kawaida na kuchukua mzigo ila kipindi
kabla ilikuwa hata kusalimia watu ni tabu kwake.Najiuliza kwa nini
hulainika na kuwa na heshima pindi wanapobaki wenyewe baada ya
kuzalishwa?
data:post.body/>
No comments:
Post a Comment