head 1

Wednesday, June 11, 2014

Kuwa mjanja wa Mapenzi; Jifunze hapa jinsi ya kuutumia ulimi wako kwa laazizi wako

Maisha ya kimapenzi kila ikiitwa leo yanazidi kubadilika ujuzi uliokuwa nao jana yawezekana wazi kabisa leo sio ujuzi kabisa ila ni kitu cha kawaida kwa baadhi ya watu sasa chukua mda mfupi kusoma makala hii utajifunza kitu
MMMH mshaanza eti nimeisha ingia mama Chaunabe kitanga na njia nisiye na bleki kwenye domo langu, wahenga wanasema kinywa cha mkubwa kinanuka lakini maneno hayanuki. Najua maneno yangu ya shombo huenda hayakufurahishi wewe ambaye kila kukicha unabadili wanaume na kuonekana una hila.

  Shutuuu dada mwanamke tabia babu wee, mwanamke kujua mumeo anataka nini, mwanamke kujituma kwenye kiwanja kifupi cha sita kwa sita.
Unasahau cha kumvutia mwanaume unakimbilia kuukoboa mwili nani kakuambia weupe mali? Basi mkaa usinge nununuliwa!
 
Tena leo nakazi na wewe, nani kakuambia weusi ni laana. Basi leo nataka nikuambie wewe usiye na haya uliyemaliza vipodozi mwisho wa siku uso unakuparama kama mchawi mzee, unalo hilo?

Siri ya weusi maana yake ni utamu hata zambarau tamu ni nyeusi, zabibu tamu ni nyeusi na hata usingizi mtamu unapatikana usiku mweusi. Huoni Mzungu akimuonja mswahili anachanganyikiwa.
  Wewe unajikoboa Mzungu ajipake masizi? Acha ubwege. Nimejikuta hata nikisahau kuelezea nilichokikusudia kwa ajili ya malimbukeni wachache, jivunie weusi wako babu wewe. Tuachane na hayo ambayo kwa kiasi nimejikuta nikipandwa na mzuka na kuingia kwenye mada nyingine. Kama unabisha mwangalie jirani yako anayetumia mkorogo ngozi kama kuku wa mayai aliyezeeka 
Read More »

Friday, April 25, 2014

HII MADA INAWAHUSU SANA WANAUME (KAMA MPENZIO HAYAJUI HAYA MUELEZE AKUFANYIE USISIKIE TU)

HII MADA INAWAHUSU SANA WANAUME KAMA MPENZIO HAYAJUI HAYA MUELEZE AKUFANYIE USISIKIE TU)
Tendo la ndoa au ngono ndilo tendo la furaha lililo kuu kwa binadamu .wakati tendo hilo wa wanyama lipo kwa ajili ya kuzaa, kwa upande wa binadamu ni zaidi ya kuzaa. Mapenzi au tendo la ndoa ni sanaa hivyo inatakiwa ufundi na ubunifu ili kuweza kufurahia tendo hilo.yafuatayo ni ni maeneo 12 yenye msisimko na kama mwanaume atayashughulikia ipasavyo bila shala mtafurahia uumbaji wake MUNGU.
1. MIDOMO YAKE
Tumia midomo yako, ulimi wako na meno yako kuchezea mdomo wake wa juu na wa chini na umbusu kwa msisimko mkubwa. Kunyonya ulimi pia huchangia kuongeza kasi ya mwanamke kwenda kileleni (usafi wa kinywa kwa wote wawili ni muhimu kwa kweli)
2. UKE NA KINEMBE
Tumia kidole chako cha kwanza cha mkono wa kulia polepole pitisha katika mfereji wa uke ukianzia chini (kutokea kwenye ****** ) ukipandisha juu,fanya hivyo mara kadhaa kutegemea umbo lako na urefu,unaweza kuchanganya zoezi hili na kunyonya matiti yake na hapo utaona upumuaji wake ukibadilika na maji maji yakiongezeka kwenye uke . kwa kawaida kinembe cha mwanamke kimejificha lakini ukifanya vizuri zoezi la hapo juu na chenyewe kama uume kitajaa damu na kuinuka. Kinembe kipo juu kabisa ya mfereji wa uke na kina ukubwa wa harage au kwa wanawake wengine huwa kidogo zaidi . tumia kidole chako cha kwanza na taratibe zungusha kidole juu ya kinembe , pandisha na kushusha kidole chako hapo unaweza kumfikisha kwenye kilele cha utamu wa mapenzi hata kabla hujaingiza uume .Wanawake wengi watafurahia ukitukia uume wako uliosimama vzr kupigapiga eneo la kinembe nah ii huufanya uume kuwa wa moto na unapomuingilia joto la uume wako litafanya raha ya tendo hili kuwa kubwa zaidi.
Kinembe ndio sehemu ambayo kwa asilimia 80 huhusika na kazi ya kumfikisha mwanamke kileleni na kwa kuwa kinembe kiko mbali kidogo toka kwenye tundu la uke sio rahisi kwa uume kufikia kinembe hivyo mwanaume anatakiwa ajisukume kwa makusudi kabisa kwenda mbele ili shina la uume liguse kinembe wakati wa kuingia na kutoka kwa uume.
3. MATITI YAKE
Matiti yake ni sehemu muhimu sana kwa mwanamke kama ilivyo kwa uke wake.Utamatia raha kamili mwanamke kama utayapapasa papasa matiti yake,utayaminyaminya kwa upole wa kimahaba utayalambalamba na kuyanyonya.
4. MASIKIO YAKE
Wanawake wengi hupata burudani masikioni yao yanapolambwa au kunyonywa au kupigwa busu.
5. SEHEMU YA SHINGO YA NYUMA
Tumia ulimi wako kulamba sehemu ya shingo yake kwa mwendo wa kutekenya tumia ncha ya ulimi kutekenya tekenya kwa kufanya mduara na kuendelea kuchora mduara na kurudiarudia.
6. SEHEMU YA NYUMA YA GOTI
Sehemu ya nyuma ya goti ina miishio mingi ya mishipa ya fahamu na utashangaa jinsi ammbavyo mwanamke atapata raha kwa kuishughulikia sehemu hii.
7. SEHEMU YA NDANI YA MAPAJA
Tumia ubapa wa kiganja chake kupapasa kwa ulaini wa sehemu ya ndani ya mapaja yake fanya hivyo juu juu huku ukimbusu mapaja yake.
8. MATAKO YAKE
Wanawake wengi wanapenda matako yao yachezewe kimahaba kwa kuyaapasa ,endelea kwa kuminya kwa kutumia vidole.
9. MIISHO YAKE
Miguu yake imejaaa miisho ya mishipa ya fahamu kiasi ambacho baadhi ya wanawake wanaweza kufika katika kilele cha burudani ya tendo la ndoa kwa miguu yao kusuguliwa na kupapaswa.
10. USO WAKE
Mwanamke atafurahi sana atakashika uso wake katika hali ya mahaba na huku ukitabasamu .wakati ukifanya hivyo unaweza kumbusu midomo yake mashavu na kwenye paji la uso.
11. HIPS ZAKE
Sehemu hii ni moja ya sehemu ambazo zitamfanya mwanamke ajisikie amekubnalika kabisa iwapo utashika wakai wa tendo la ndoa.
12. G SPORT
Sehemu hii iko ndani ya uke ambayo inapata hisia kubwa sana ikibonyezwa bonyezwa,sehemu hii ipo sentimita 5 kutoka mlango wa uke na iko katika ukuta wa juu wa uke.sehemu hii ikibonyezwa na kuchezewa ipasavyo mwanamke anaweza akapiz mara mbili au zaidi kwa wakati mmoja . hii ni njia rahisi ya kumfikisha mwanamke kileleni, mwanaume aingize kidole kwenye uke na kubonyeza na kusugua sehemu ya juu ya uke.sehemu hii imekaa kama sponji na huwa ngumu kwa kadiri inavyobonyezwa.mwanamke anaweza kujisikia kama anataka kukojoa kabisa na hawezi kukojoa ila raha atakayoipata ni kubwa sana.
Read More »

ZIJUE AINA 10 ZA WANAWAKE WANAOPENDWA ZAIDI NA WANAUME

 
WENYE MSIMAMO

Wanawake daraja la kwanza wanaopendwa zaidi na wanaume ni wale wenye msimamo, uelewa mkubwa wa mambo na maamuzi sahihi, walio makini kwenye matendo yao na siku zote hufanya vitu kwa ajili ya kupata mafanikio. 
 
WAPENDA USAWA
 Aina ya pili inayohitajika katika katika ulimwengu wa kimapenzi ni wanawake wanaoheshimu usawa wa jinsia, walio tayari kubeba majukumu ya kifamilia kwa ulinganifu sawa na wanaume, wenye uwezo wa kuongoza jamii kwa asilimia 50 kwa 50. 

WANAOJUA MAPENZI 
Wanawake wajuzi wa mambo ya faragha wanapendwa sana. Sifa yao kubwa ni uwezo wa kuwatosheleza wenzi wao katika tendo la ndoa. Tafiti zinaonesha kuwa wanaume hupenda sana wanawake watundu katika mchezo wa sita kwa sita. Mara nyingi wanatajwa kuwa na uwezo wa kuteka akili za wanaume bila kujali sifa zao za nje au za ndani.

MARAFIKI 
Wanawake wenye sifa sawa na rafiki ni aina ya nne inayowavutia wanaume. Wao hutegemea zaidi nguvu ya kushawishi inayotokana na namna wanavyojali na kujitolea kuhakikisha wanakuwa marafiki wa kweli kwenye shida na raha kwa wapenzi wao. Si wakorofi, ni waungwana na wapenda amani. 

WAPENDA UWAZI 
Aina nyingine ya wanawake inayowavutia wanaume ni wenye msimamo na wapenda uwazi. Si wepesi wa kuburuzwa katika maamuzi ya msingi kwa kisingizio cha wao ni wanawake. Utafiti unaonesha wanawake wa aina hii wamekuwa muhimu hasa kwa wanaume wenye tabia za ubabe na udhaifu katika uelewa wa mambo. 

WANAOJITEGEMEA 
Wanawake wanaojitegemea wana soko kubwa kwa wanaume tofauti na akina ‘naomba vocha’ kila siku. Uchunguzi unaonesha kuwa wanaume wa leo hawapendi wanawake tegemezi, wasiokuwa na kazi na wanaoendekeza starehe za upande mmoja. WASIO NA PRESHA Nikisema wanawake wasiokuwa na presha namaanisha wasiolazimisha vitu vitokee haraka haraka. Wao siku zote huacha mambo yatokee yenyewe na kazi yao kuwa ni kutenda sehemu ya majukumu yao kama wapenzi. 
MARIDADI 
Kundi lingine la wanawake wanaopendwa na wanaume ni wanaozingatia usafi na kujiremba. Wanaokwenda na wakati katika mavazi na mvuto wa nje lakini pia ni waelewa wa mazingira, si washamba. Wanapendeza kwa mwonekano. WANAORIDHIKA Wanawake ambao huridhika na hali walizonazo ni kivutio kikubwa kwa wanaume. Hili ni kundi linalohitajika sana katika ulimwengu wa mapenzi kwa upande wa wanaume ambao maisha ya sasa yamekuwa yakiwageuza kutoka juu kwenda chini au chini juu. Kukubali hali zote bila kubadili tabia ni sifa njema ya mwanamke. 
WA MMOJA 
Wanawake wanaochagua mara moja na kutosheka na kuwa tayari kukwepa kila aina ya vishawishi toka kwa wanaume ambao kimtazamo wana vitu vya ziada zaidi ya waliowachagua mwanzo, wanahitajika sana. “Niliye naye ananitosheleza kwa kila kitu sitaki mtu mwingine.” Kundi la wanawake wa aina hii ni adimu na muhimu sana."
Read More »

Tuesday, April 15, 2014

JINSI YA KUCHAGUA JINSIA YA MTOTO WA KUZAA KABLA YA KUSHIKA MIMBA



Jinsi ya kuchagua jinsia ya mtoto
"Nina kukubali uwezo wako kiushauri na kiuzoefu,Umejaliwa!!..Mimi ni kijana wa kiume  mwenye umri wa miaka 27,nina mchumba wangu na tuko kwenye harakati za kufunga ndoa.


Tatizo langu ni hili: Napenda sana first born wangu awe wa kike;[tei tei.....],na ninasikia kuna namna fulani ya kuweza kupanga jinsia ya mtoto japo ni kwa majaliwa ya mungu.


NIFANYEJE???? Naomba unisaidie jamanii!! Wako B.Z"

*****************************

Dinah anasema: Ahsante, Nashukuru sana. Ni kweli kuna namna ya kuchagua Jinsia ya mtoto kabla Mimba haijatungwa lakini bado haijathibitishwa Kisayansi/Kitaalam.


Kupata mtoto wa Kike sio ngumu sana kama ilivyo kwa mtoto wa kiume + inategemea zaidi kwenye uwingi wa jinsia hiyo upande wako(familia ya mwanaume).


Mbegu zinazosababisha mtoto wa kike "hutembea" taratibu kuelekea kwenye Yai na huishi kwa masaa 72-Wiki....hivyo wewe na mkeo hamtahitaji kusubiri "tarehe" maalum.


Kama kwenu au kwa baba mdogo/ mkubwa kuna wanawake wengi basi unaweza ukafanikiwa kupata Binti bila taabu kabisa.

Ila epuka kufanya mapenzi tarehe ambazo mkeo ajae anakaribia kupevusha Yai....fanya mapenzi baada ya hedhi na wiki mbili baadae.


Mbegu zinazosababisha mtoto wa kiume zipo "faster" na hufa haraka, hivyo kama unataka mtoto wa kiume inabidi kutegea "tarehe" maalum ili Mbegu iliwahi yai likiwa njiani...


Japokuwa suala la mtoto wa kiume linategemea zaidi upande wa Mwanamke, ikiwa kwako kuna wanaume wengi au idadi sawa na wanawake, urahisi wa kupata mtoto wa kiume ni kubwa.


Sehemu ya maelezo yangu ni kutokana na uzoefu wangu binafsi, tulipotaka mtoto wa kwanza awe wa Kiume tulikuwa tunafanya kwa kufuata "tarehe" maalum + mikao maalum(hakuna kifo cha mende wala vijiko)!!


Mtoto wetu wa Pili ambae ni wa kike, hatukufuata "tarehe" maalum...

Kifamilia, idadi ya wanaume kwetu ni kubwa kuliko wanawake.

Wengine wataongezea...
Mapendo tele kwako..
Read More »

HUU NDIO UKWELI WA MAMBO KUHUSU WENYE TABIA YA KUZAMA CHUMVINI



                        

Kuna maneno mengi sana yanazungumzwa kila kukicha kuhusu tabia ya mwanaume kumnyonya u*ke mwanamke  kama moja ya njia rahisi sana ya kumfikisha mwanamke kileleni.                         

Wapo baadhi wanajaribu kuelezea juu ya madhara 
apatayo  mwanaume
kunyonya kuma mchezo ambao maarufu unaitwa kuzama chumvini au uvinza,

Siwezi kuwa mnafiki kwa kusema mchezo huu hauna madhara kwa mnyonyaji la hasha nitakuwa nawaongopea,

Nilichoamua kuwashirikisha siku ya leo wapendwa ni juu ya ukweli halisi kwa wapendaji wa mchezo huu kwani si ajabu kukuta mtu akikemea na kupinga vikali juu ya unyonyaji u*ke akisema ni mchezo mchafu na wenye madhara na haupaswi kabisa kufanywa, 

Mara nyingi watu hawa wamekuwa wakionesha matokeo mabaya (athari) zaidi na kuto zungumzia juu ya faida yoyote ipatikanayo kwa wawili hao katika mchakato mzima wa kuridhishana. 


Wapo wengine pia wanaotetea juu ya kamchezo haka katamu na kenye kumnyegesha kwa haraka zaidi mwanamke na kumfanya hata aanze kuzungumza vitu asivyovijua kutokana na raha aipatayo hasa pale ulimi unapokuwa kunako kisimi na sehemu nyinginezo.


Kundi hili pia la watu husahau kusema madhara ambayo huweza mwanaume kuyapata kutokana na kamchezo haka hasahasa kama amekurupuka 
tu kufanya haka kamchezo.

Leo naomba nitumie fursa hii kuondoa mzizi wa fitna kuzungumza ukweli halisi juu ya mchezo huu, haya sasa twende sawa:-



*Mchezo huu unamadhara tu iwapo mwanamke atafanya makosa kama vile kunyonywa akiwa hajajisafisha vizuri kwa sabuni zenye dawa(medicated soap)katika kona zote muhimu za uch wake kuanzia nje kabisa,maeneo ya kinembe,kwenye visikio na ndani kabisa kona zote. 

Usafishaji huu unahitaji muda wa kutosha usiopungua dakika 45,usione kuchelewa ukakimbilia kwenda kutiwa mdada japo mbo*o tamu sana lakini subira muhimu dada.


*Kunyonya ku*ma pasipo kusafisha vizuri huweza kusababisha mnyonyaji kupata fangasi au maambukizo ya magonjwa ya zinaa kama vile virusi vya ukimwi na kisonono kwa urahisi zaidi kwani u+ke huwa na majimaji ambayo huweza kuhifadhi vijidudu vinavyoweza kuleta madhara kwa mnyonyaji.


*Lakini pale ambapo mwanadada ametumia muda wa kutosha na umakini wa hali ya juu na kufanikisha kuikosha vizuri uke(ku_ma)yake hakika ni wakati murua wa mwanaume wake kuenjoy na kufaidi utamu uliopo kila sehemu katika k* ya mwenzawake,

kwa uzoefu wangu u_ke ukisafishwa vizuri kabisa na kukaushwa maji maji hakika mwanaume anaweza jisahau ukataka hata usitoke badala yake uendelee kuifyonza jambo litakalofanya mpenzi wako aanze kurusha miguu huku nakule,akate kiuno hapa na pale,atoe sauti hii mara ile na mwisho hujikuta akifika kileleni kwa kumwaga majimaji yanayoashiria kilele cha utamu.


*Kwa haraka haraka kabla ya kupeleka mdomo wako uchini mwake hakikisha unamchezea sehemu zingine kama vile chuchu zake,makalio yake,masikio yake bila kusahau kumnyonya ulimi wake kwa taratiibu huku ukiachia pumzi pole pole jambo linalomfanya asikie raha ya ajabu. 

Baada ya kufanya hivi kwa muda wa kutosha ndipo ushuke chini na kulamba lamba u_ke wake hata kabla hajachojoa chupi,pitisha pitisha ulimi wako juu ya chupi usawa wa k* yake,waweza penyeza ncha ya ulimi wako pembeni mwa chupi ili uguse ku_ma yake mithili ya kitoto cha nyoka kinachungulia shimo la panya.


Baada ya kufanya utundu kadha sasa waweza mvua chupi mpenzi wako na taratibu anza 
kunyonya chini kidogo ya kine_na huku ukibusubusu mara kadhaa na taratiibu anza kushuka kwenye kinembe na ukibusu baada ya hapo anza kukinyonya taratibu huku ukikipulizapuliza ili kuamsha spidi ya mzunguko wa damu.

Kelele za mnyonywaji haziwezi kukatika kwani raha anazozipata mnyonywaji anashindwa aongee lugha gani aeleweke. 

Baada ya kutoka kwenye kine_mbe waweza lamba na kunyonya mashavu pamoja na sehemu ya ndani ya uke wa mpenzi japo nguvu za ziada inatakiwa zielekezwe kwenye kinembe kwani ndio sehemu rahisi zaidi kumfikisha mwanamke kileleni usipokuwa mwangalifu mwamke anaweza hata kubweka kwa kuzidiwa utamu!!!! 

Chumvini kuna starehe usiambiwe ila usafi ni jambo la kuzingatia sana ili kuepuka maradhi.
NIMEMALIZA
Read More »

Monday, April 7, 2014

KATIKA MAPENZI SI LAZIMA UTUMIE PESA NYINGI KUMUONYESHA KAMA UNAMPENDA.


Sasa hivi imekua ni kawaida mtu kutumia pesa nyingi labda kumpeleka mpenzi wake kwenye mahotel makubwa au kumnunulia vitu vya thamani ili kumuonyesha mapenzi, ila ukweli ni kwamba unaweza ukafanya hayo yote ukajiingiza kwenye gharama kubwa na matumizi usiyotarajia  bila mafaniko. Mwanamke haitaji vyote hivyo mwanamke anahitaji muda, tumia muda mwingi kuwa nae, muonyeshe unamjali, tatizo lake chukua liwe lako. Mpe kidogo ulicho nacho na kitoke moyoni, Usilazimishe mambo utamboa, fanya ajiamini ukiwa nae, kuwa na misimamo yako usiyumbe yumbe katika maamuzi, Usiogope kumwambia hisia zako kwake, kwani wanawake wanapenda mtu anayejiamini. Fanya hayo utaona matokeo yake..!!
Read More »

VITU NANE VYA KIPUMBAVU AMBAVYO WADADA HUVIFANYA KWENYE MAPENZI






1. Kuishi na mwanaume ambaye ajakutolea mahari au kukuoa. Hii inachoma lakini ndio ukweli wenyewe. Usiwe mjinga   
2. Kuvaa pete ya uchumba ya mwanaume ambaye even hata kwenu apajui. Na pengine hata wazazi wako hawajui
3. Kukubali kuwa mke wa pili. Samahani sana nitakao gusa imani zao
4. Kutumia picha ya boyfriend wako kama profile picture wakati yeye hana hata wazo la kufanya hivyo.
5. Kumpa thamani yako PRIDE (Bikira), mwanaume ambaye ajatoa pesa ya mahari
6. Kupika chakula mara kwa mara na kufua nguo kuonyesha upendo kwa boyfriend wako ambaye sii mume wako.
7. Kutokumuheshimu mzazi wako kwa sababu tu ya mwanaume ambaye wazazi wako hawamjui
8. Kumpa mwanaume sex kirahisi tu kwa sababu amekuambia atakuoa
JITAMBUWE!!!
Read More »